UJIO WA LOWASSA NA SUMAYE BUNGENI WALITIKISA BUNGE LEO
Waziri
Mkuu mstaafu, ambaye pia ni Mjumbe wa Kamati mKuu ya Chadema, Edward Lowassa,
akisalimiaana na Baadhi ya wabunge alipowasili viwanja vya bunge mjini Dodoma lep chini ya Mwaliko wa Mbunge wa Vunjo James Mbatia
Waziri Mkuu mstaafu, ambaye pia ni Mjumbe wa Kamati mKuu ya Chadema, Edward Lowassa, akisalimiana na mbunge wa Kilolo, Venance Mwamotto nje ya ukumbi wa bunge
Naibu Waziri wa Afya Dk. Hamis Kigwangala, akiwa na wabunge wenzake wakiwasili viwanja vya bunge kwa ajili ya kuhudhulia bunge
Wabunge wa CCm, wakijadili jambo kabla ya kuingia bungeni
Mbunge wa Tarime mjini Esther Matiko, akichangia bungeni
Mbunge wa Nzega Mjini Hussein Bhashe, akichangia kwani mambo yanahalibika kila kunapokucha na kumtaka waziri wa fedha kutowadanganya wabunge
Mbunge wa Nyang’wale, Husein Amar, akichangia bajeti leo bungeni
Waziri Mkuu Mstaafu, akitambulishwa bungeni
Mawaziri wakuu wastaafu Frederick Sumaye na Edward Lowassa, na wajumbe wa wa Kamati Kuu ya Chadema, wakiwa katika eneo la wageni mashuhuri Bungeni
Edward Lowassa, Freeman Mbowe na Mwita Waitara, wakitoka bungeni kwa ajili ya kwenda kwenye kikao cha chama
Edward Lowassa, akisalimiana na wabunge wa Zimbabwe, waliokuja bungeni jana kutembelea.
eSumaye na Profesa Safari wakitoka kwenye ukumbi wa bung
Tundu Lissu na Sugu wakilejea bungeni baada ya kumaliza kifungo cha kuwa nje ya bunge
Mbunge wa Kahama Jumanne Kishimba(kulia), akizungumza na wabunge wenzake wakati wa kipindi cha mapumziko cha bunge kutoka kushoto ni mAhmed Salum Solwa,Seif Gulamali,Manonga na Husein Amar Nyang’wale.
Mbunge Hussein Bashe, mbunge wa Nzega Mjini, alipo changia na kuivua nguo Serikali kwa uongo wake uliokubuhu
Akibofya chombo chake chamawasiliano akiwa bungeni leo
Waziri Mkuu mstaafu, ambaye pia ni Mjumbe wa Kamati mKuu ya Chadema, Edward Lowassa, akisalimiana na mbunge wa Kilolo, Venance Mwamotto nje ya ukumbi wa bunge
Naibu Waziri wa Afya Dk. Hamis Kigwangala, akiwa na wabunge wenzake wakiwasili viwanja vya bunge kwa ajili ya kuhudhulia bunge
Wabunge wa CCm, wakijadili jambo kabla ya kuingia bungeni
Mbunge wa
Chemba, Juma Nkhamia, akiomba mwongozo wa spika kuhusu mikopo kwa
wanafunzi wa elimu ya juu kwanini
inasuasua.
Mkuu wa
Kambi ya Upinzania Bungeni Freeman Mbowe, akichangia bungeni leo na kuzua
jambo aliposema Serikali ya CCM imefilisika haiwezi kutoa kila kijiji Sh
milioni 50.kama mgombea wake urasi alivyoahidi kwenye kampeni
Mbunge wa Tarime mjini Esther Matiko, akichangia bungeni
Mbunge wa Nzega Mjini Hussein Bhashe, akichangia kwani mambo yanahalibika kila kunapokucha na kumtaka waziri wa fedha kutowadanganya wabunge
Mbunge wa Nyang’wale, Husein Amar, akichangia bajeti leo bungeni
Waziri Mkuu Mstaafu, akitambulishwa bungeni
Mawaziri wakuu wastaafu Frederick Sumaye na Edward Lowassa, na wajumbe wa wa Kamati Kuu ya Chadema, wakiwa katika eneo la wageni mashuhuri Bungeni
Edward Lowassa, Freeman Mbowe na Mwita Waitara, wakitoka bungeni kwa ajili ya kwenda kwenye kikao cha chama
Edward
Lowassa, akisalimiana na vijana baada ya kutoka bungeni
Edward Lowassa, akisalimiana na wabunge wa Zimbabwe, waliokuja bungeni jana kutembelea.
eSumaye na Profesa Safari wakitoka kwenye ukumbi wa bung
Tundu Lissu na Sugu wakilejea bungeni baada ya kumaliza kifungo cha kuwa nje ya bunge
Mbunge wa Kahama Jumanne Kishimba(kulia), akizungumza na wabunge wenzake wakati wa kipindi cha mapumziko cha bunge kutoka kushoto ni mAhmed Salum Solwa,Seif Gulamali,Manonga na Husein Amar Nyang’wale.
Mbunge Hussein Bashe, mbunge wa Nzega Mjini, alipo changia na kuivua nguo Serikali kwa uongo wake uliokubuhu
Akibofya chombo chake chamawasiliano akiwa bungeni leo
Comments
Post a Comment