ASKARI WALIPOGEUKA KUWA WATETEZI WA WAHUNI UCHAGUZI WA MEYA KINONDONI
mMOJA WA WAALIKWA AKIMLALAMIKIA ASKARI BAADA YA KUZUIWA KUIMNGIA UKUMBINI katika uchaguzi huo
Askari wakiwazuia wajumbe wa ukawa
Wajumbe wa ukawa wakiwa nje ya uzio wakiwasiliana na wenzao waliomo ndani katika eneo la manispaa ya kinondoni
Wakilushiana maneno na wa ccm
Mwenyekiti wa Chadema akaiwasili katika eneo hilo
Mbowe, akisalaimina na wajumbe wake
hata mbowe nae alizuiwa akwenda kushuhudia uchaguzi huo je agekuwa magufuli agezuiwa demokrasia ipo wapi
Mbowe akiwabembelea askari
hatimae akaruhusiwa kwa mbinde
Polisi na askari wa mbowe vitani
Wanahabari wa vyombo vinafsiwalizuiwa kuingia wakaruhusiwa wa vyombo vya Serikali tu eti wanaandika habari nyingi za upinzani
Comments
Post a Comment