Waumini wa Baps Charities’ nchini wakiwa kwenye kumbukizi ya marehemu Pramukh Swamiji Jai Swaminarayan
Sehemu ya mapokezi ya ukumbi wa J.K. Nyerere jijini Dar es Salaam, waumini walujaza pomoni kushiriki na kusikiliza hotuba mbalimbali za viongozi na kiongozi wao wa kiroho aliyefariki akiwa na umri wa miaka zaidi ya 90
Mwenyekiti wa dhehebu hilo hapa nchini na Mwenyekiti wa Makampuni ya M.M.I.Stell. Subhash Patel akiwakalibisha wageni kutoka nje ya nchi kuingia katika ukumbu huo kuanza shughuli hiyo
Subhash na viongozi wenzie wakimsubili baadhi ya wageni wao kuwasili
Subhashi, akimpokea Rais Mstaafu Ali Hassan Mwinyi , baada ya kuwasili
Akisalimiana na baadhi ya viongozi
Rais Mstaafu, Mwinyi, akisalimiana na Dk. Mohammed Seif Khatib baada ya kuwasili
Akiingia ukumbini
Karibu Mzee uketi
Akisalimiana na mzee Andy Chande
Aliyekuwa Waziri wa Mambo ya nchi Emmanue Nchimbi, akisalimiana na mzee mwinyi, nchimbi alikuwa mgeni rasmi katika shughuli hiyo na alitoa hotuba
Wakizungumza
Asah Mwambene, akizungumza na ugeni wake katika eneo hilo
Wakipiga picha ya pamoja
Mwambene, akisalimiana nae
Viongozi wakisubili kuingia ukumbini
Chande na Mwinyi wakiteta
Subhashi, akiwaongozi kuingia ukumbini
Nchimbi na Chande, wakiteta
Vijana wa dhehebu hilo wakitoa burudani hapo
Mwenyekiti wa Makampuni ya IPP, DK. Reginald Mengi, akisalimiana na Rais Mwinyi baada ya kuwasili ukumbini
Mengi akisalimiana na Subhash
Wakiwa katika mazungumzo kabla ya kuanza kumbukizi
Mama wa imani alivyokuwa akiwabariki baadhi ya waumini wake
baba wa imani enzi za uhai wake
Baadhi ya shuguli zake
Mwenye akihutubia
Waumini walivyojaa
Mkuu wa chuo cha |Sheria Profesa Paramagamba Kabudi, akifuatilia kumbukizi hilo
Nchimbi, akisoma hotuba yake katika kumbukizi hilo
Waumini wakifuatilia
Andy Chande akisoma hotuba yake
Subhash Patel, akihitimisha kumbukizi hilo
Akiagana na Mwinyi
Akiagana na Nchimbi
Subhbash, akihojiwa na waandishi wa habali
Wakitoka kwenye chumba cha mapumziko baada ya kuzungumza na wanahabari
Mwenyekiti wa dhehebu hilo hapa nchini na Mwenyekiti wa Makampuni ya M.M.I.Stell. Subhash Patel akiwakalibisha wageni kutoka nje ya nchi kuingia katika ukumbu huo kuanza shughuli hiyo
Subhash na viongozi wenzie wakimsubili baadhi ya wageni wao kuwasili
Subhashi, akimpokea Rais Mstaafu Ali Hassan Mwinyi , baada ya kuwasili
Akisalimiana na baadhi ya viongozi
Rais Mstaafu, Mwinyi, akisalimiana na Dk. Mohammed Seif Khatib baada ya kuwasili
Akiingia ukumbini
Karibu Mzee uketi
Akisalimiana na mzee Andy Chande
Aliyekuwa Waziri wa Mambo ya nchi Emmanue Nchimbi, akisalimiana na mzee mwinyi, nchimbi alikuwa mgeni rasmi katika shughuli hiyo na alitoa hotuba
Wakizungumza
Asah Mwambene, akizungumza na ugeni wake katika eneo hilo
Wakipiga picha ya pamoja
Mwambene, akisalimiana nae
Viongozi wakisubili kuingia ukumbini
Chande na Mwinyi wakiteta
Subhashi, akiwaongozi kuingia ukumbini
Nchimbi na Chande, wakiteta
Vijana wa dhehebu hilo wakitoa burudani hapo
Mwenyekiti wa Makampuni ya IPP, DK. Reginald Mengi, akisalimiana na Rais Mwinyi baada ya kuwasili ukumbini
Mengi akisalimiana na Subhash
Wakiwa katika mazungumzo kabla ya kuanza kumbukizi
Mama wa imani alivyokuwa akiwabariki baadhi ya waumini wake
baba wa imani enzi za uhai wake
Baadhi ya shuguli zake
Mwenye akihutubia
Waumini walivyojaa
Mkuu wa chuo cha |Sheria Profesa Paramagamba Kabudi, akifuatilia kumbukizi hilo
Nchimbi, akisoma hotuba yake katika kumbukizi hilo
Waumini wakifuatilia
Andy Chande akisoma hotuba yake
Subhash Patel, akihitimisha kumbukizi hilo
Akiagana na Mwinyi
Akiagana na Nchimbi
Subhbash, akihojiwa na waandishi wa habali
Wakitoka kwenye chumba cha mapumziko baada ya kuzungumza na wanahabari
Comments
Post a Comment