NYUMBA 400 ZAANZA KUVUNJWA KIBAMBA DAR
Nyumba hizi zilizopo eneo la Kibamba au Mloganzira Dar es Salaam, lenye ukumbwa heka 34 na nyumba zaidi ya 400 zinatakiwa kuvunjwa baada ya mwenye eneo hilo alilolipata mwaka 1979 kushinda kesi yake katika Mahakama ya Ardhi wilaya ya Kinondoni na leo zaidi ya nyumba 80 zimevunjwa hebu jionee picha jinsi tingatinga linavo zivunja na kuacha kilio kwa wenye nyumba na wapangaji.
Wakishauliana wanzie wapi kuondosha vii,m ilango na mabati kabla tingatinga halijafika kuvunja
Nyumba zilizovunjwa
Baada ya nyumba kuvunjwa vyombo vikiwa nje
Wakingojea usafiri baada ya gari kukwama kulia kwenye tope
Wakakzi wa Kibamba Manispaa ya Kinondoni, wakikimbia mabomu yaliyokuwa yakipigwa jana na Askari Polisi baada ya kutaka kuleta fujo wakati nyumba zao zaidi ya 80 zilipokuwa zikivunjwa jana kwa amri ya Mahakama ya Ardhi wilaya ya kinondoni. Picha ndogo Kijiko kikiendelea na uvunjaji wa nyumba hizo ambazo zipo zaidi ya 400 zilizojengwa katika eneo la Ekari 43
Maisha yatakuwaje akifikili kijana huyu
Nyumba ilipogeuka kifusi na wenyewe wakiokota nondo
hawa wakipakia mabati na milango
Nyumba hii iliteketea baada ya tingatinga kufika kabla hajaondosha mbao
Tingatinga likifanya kazi
Askari wakiwa na zana zao na wananchi wakiwa na hasira wakati nyumba zao zikiendelea kuvunjwa
Wakihama
Tingatinga likianza kuvunja nyumba iliyokuwa imebekiza kuezekwa tu
Ikianza kuvunjwa
Ikiendelea kupigwa panki au pasi hadi chini
Haiwezekani, itawezekana mabishano kati ya Askari na raia huku nyumba zikivunjwa
Kijana akiwa na maji ya kunawa usoni kama mabomu yatapigwa huku akishuhudia nyumba yao ikivunjwa taratibuu
Hadi chini
Wakikagua nyumba nyingine
Wenyenyumba wanapogekuka kuwa wapangaji
Hapa kijiko kimepita
Safari ya wapi sasa, baada ya kujikwamua upangaji sasa wamelejeshwa huko tena maisha yanaendele kuwa magumu baadhi walikuwa wakisema kweli sasa tumeisoma nambaa
kabati chini na nyumba chini
Hii nayo inasubili zamu yake kuvunjwa
Baibai kibamba
Wapangaji wakihama baada ya nyumba kuvunjwa
Hawa nao wakingojea usafiriWakishauliana wanzie wapi kuondosha vii,m ilango na mabati kabla tingatinga halijafika kuvunja
Nyumba zilizovunjwa
Baada ya nyumba kuvunjwa vyombo vikiwa nje
Wakingojea usafiri baada ya gari kukwama kulia kwenye tope
Wakakzi wa Kibamba Manispaa ya Kinondoni, wakikimbia mabomu yaliyokuwa yakipigwa jana na Askari Polisi baada ya kutaka kuleta fujo wakati nyumba zao zaidi ya 80 zilipokuwa zikivunjwa jana kwa amri ya Mahakama ya Ardhi wilaya ya kinondoni. Picha ndogo Kijiko kikiendelea na uvunjaji wa nyumba hizo ambazo zipo zaidi ya 400 zilizojengwa katika eneo la Ekari 43
Maisha yatakuwaje akifikili kijana huyu
Nyumba ilipogeuka kifusi na wenyewe wakiokota nondo
hawa wakipakia mabati na milango
Nyumba hii iliteketea baada ya tingatinga kufika kabla hajaondosha mbao
Tingatinga likifanya kazi
Askari wakiwa na zana zao na wananchi wakiwa na hasira wakati nyumba zao zikiendelea kuvunjwa
Wakihama
Tingatinga likianza kuvunja nyumba iliyokuwa imebekiza kuezekwa tu
Ikianza kuvunjwa
Ikiendelea kupigwa panki au pasi hadi chini
Haiwezekani, itawezekana mabishano kati ya Askari na raia huku nyumba zikivunjwa
Kijana akiwa na maji ya kunawa usoni kama mabomu yatapigwa huku akishuhudia nyumba yao ikivunjwa taratibuu
Hadi chini
Wakikagua nyumba nyingine
Wenyenyumba wanapogekuka kuwa wapangaji
Hapa kijiko kimepita
Safari ya wapi sasa, baada ya kujikwamua upangaji sasa wamelejeshwa huko tena maisha yanaendele kuwa magumu baadhi walikuwa wakisema kweli sasa tumeisoma nambaa
kabati chini na nyumba chini
Hii nayo inasubili zamu yake kuvunjwa
Baibai kibamba
Comments
Post a Comment