BUNGENI DODOMA
Waziri wa Viwanda na Biashara, Dk. Abdallah
Kigoda,akisoma hotuba ya bajeti ya wizara yake Bungeni Dodoma
Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, Bakari Mnyaa Mbarawa, akisoma hotuba ya bajeti ya Wizara yake bungeni mjini Dodoma
Mbunge wa Viti Maalum . Lucy owenya, akitoa mchango wake katika bajeti ya Wizara ya Biashara na Viwanda bungeni
Mbunge wa Rufiji Abdallah malombwe, akichangia hotuba ya bajeti ya Wizara ya Viwanda na Biashara bungeni
Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, Bakari Mnyaa Mbarawa, akitoka ukumbi wa bunge na Waziri kivuli wa Wizara yake Mhandisi Mohamed Habib Mnyaa (kulia) baada ya kuahilishwa bune kipindi cha mchana
Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, Bakari Mnyaa Mbarawa, akisoma hotuba ya bajeti ya Wizara yake bungeni mjini Dodoma
Mbunge wa Viti Maalum . Lucy owenya, akitoa mchango wake katika bajeti ya Wizara ya Biashara na Viwanda bungeni
Mbunge wa Rufiji Abdallah malombwe, akichangia hotuba ya bajeti ya Wizara ya Viwanda na Biashara bungeni
Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, Bakari Mnyaa Mbarawa, akitoka ukumbi wa bunge na Waziri kivuli wa Wizara yake Mhandisi Mohamed Habib Mnyaa (kulia) baada ya kuahilishwa bune kipindi cha mchana
Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Janeth Mbene(kulia),
akizungumza na wabunge Christowaja Mtinda (kushoto), viti maalum Chadema na Asumtah Nshama, jimbo la Nkenge
CCM. Mazungumzo hayo yalifanyika kipindi cha mapumziko mchana.
Comments
Post a Comment