WALIOSOMA ST MARY'S MBAGALA WAKUTANA NA WENZAO SHULENI HAPO
Mwalimu Mkuu wa Shule ya StMary's Mbagala jijini Dar es Salaam, Jacob Mmwangi, akizungumza na waandishi wa habari kabla ya kuanza kongamano la wanafunzi wa shule hiyo na wale waliohitimu Darasa la saba mwaka 2010 na mwaka jana walipasua mktihani ya kidato cha nne. kulia ni Mwalimu Mkuu Msaidizi wa shule hiyo Mercy Githirua.
Wanafunzi wakisubili konamano
Waliohitimu darasa la saba mwaka 2010 shuleni hapo wakisubili kuanza kongamano
Mkurugenzi wa idara ya habari katika shule hizo Dallas Mhoja, akizungumza nao
Bhoke John, mhitimu akizungumza na waandishi wa habari kuhusu uzuri wa shule hizo kwa kijana anapoanzia hapo na kwenda shule zingine
Mhitimu wa shule hiyo Emmanuel Pantaleo, akizungumza na waandishi baada ya kuwasili kwa ajili ya kongamano
Wakimuomba mungu kabla ya kuanza kwa kongamano hilo
Wanafunzi wakisubili konamano
Waliohitimu darasa la saba mwaka 2010 shuleni hapo wakisubili kuanza kongamano
Mkurugenzi wa idara ya habari katika shule hizo Dallas Mhoja, akizungumza nao
Bhoke John, mhitimu akizungumza na waandishi wa habari kuhusu uzuri wa shule hizo kwa kijana anapoanzia hapo na kwenda shule zingine
Mhitimu wa shule hiyo Emmanuel Pantaleo, akizungumza na waandishi baada ya kuwasili kwa ajili ya kongamano
Wakimuomba mungu kabla ya kuanza kwa kongamano hilo
Comments
Post a Comment