RATIBA YA MAZISHI YA MAREHEMU CAPT. JOHN DAMIANO KOMBA, (MB.) YATAKAYOFANYIKA LITUHI, NYASA, MKOANI RUVUMA TAREHE 3 MACHI, 2015
|
________________________________________
NA.
|
MUDA
|
TUKIO
|
MHUSIKA
|
1.
|
12:00 -
01:00
|
Familia na Waombolezaji kupata chai nyumbani
|
Kaimu Katibu
wa Bunge
|
2.
|
01:00 -
04:00
|
Misa ya
kuaga mwili wa Marehemu
|
Kanisa
Katoliki,
Parokia
ya Bikira Maria Mpalizwa
|
3.
|
04:00 -
04:30
|
·
Ndugu, Jamaa na Wananchi kuwasili katika Viwanja vya
Karimjee
·
Viongozi wa Vyama vya Siasa, Waheshimiwa Wabunge, Manaibu
Waziri, Mawaziri kuwasili na kuketi katika nafasi zao
|
Katibu wa
Bunge
|
4.
|
04:33
|
Kiongozi
wa Upinzani Bungeni kuwasili
|
Kaimu
Katibu wa Bunge
|
5.
|
04:36
|
Mhe.
Naibu Spika kuwasili
|
Kaimu Katibu
wa Bunge
|
6.
|
04:39
|
Mhe.
Spika kuwasili
|
Mhe.
Naibu Spika
|
7.
|
04:42
|
Mhe.
Waziri Mkuu kuwasili
|
Mhe.
Spika
|
8.
|
04:50
|
Mhe.
Makamu wa Rais kuwasili
|
Mhe.
Spika
|
9.
|
05:00
|
Mhe. Rais
kuwasili
|
Mhe.
Spika
|
10.
|
05:00
|
Mwili wa
Marehemu kuwasili kwa gwaride maalum
la Sergeant-At-Arms
|
Katibu wa
Bunge
|
11.
|
05:00 -
05:15
|
Sala fupi
|
Kanisa
Katoliki,
Parokia
ya Bikira Maria Mpalizwa
|
12.
|
05:15 -
05:20
|
Wasifu wa
Marehemu
|
Kaimu Katibu
wa Bunge
|
13.
|
05:20 -
05:30
|
Salamu na Rambirambi za Chama cha Mapinduzi (CCM)
|
Katibu
Mkuu, CCM
|
14.
|
05:30 -
05:35
|
Salamu na
Rambirambi kutoka kwa Kiongozi wa Upinzani Bungeni
|
Kiongozi
wa Upinzani Bungeni
|
15.
|
05:35 -
05:45
|
Salamu na
Rambirambi za Serikali
|
Waziri
Mkuu
|
16.
|
05:45 -
05:55
|
Salamu na
Rambirambi za Uongozi wa Bunge
|
Mhe.
Spika
|
17.
|
05:55 -
06:00
|
Neno la Shukrani toka kwa familia
|
Mwakilishi
wa Familia
|
18.
|
06:00 -
06:15
|
Utaratibu
wa safari
|
Kaimu Katibu
wa Bunge
|
19.
|
06:15 -
07:15
|
Kuaga
Mwili wa Marehemu kulingana na Itifaki
|
MC
|
20.
|
07:15
|
Mwili wa
Marehemu kuondoka uwanjani kuelekea Uwanja wa Ndege
|
MC
|
21.
|
07:20 -
07:25
|
Viongozi
wa Kitaifa kuondoka kulingana na Itifaki
|
MC
|
22.
|
07:40
|
Mwili wa
Marehemu kuwasili Uwanja wa Ndege
|
Kaimu
Katibu wa Bunge
|
23.
|
08:00
|
Mwili,
Familia na Waombolezaji kuondoka kuelekea Songea
|
Kaimu
Katibu wa Bunge
|
24.
|
10:00
|
Mwili wa
Marehemu kuwasili Uwanja wa Ndge Songea na kupokelewa na Mkuu wa Mkoa
|
Ofisi ya
Mkuu wa Mkoa
|
25.
|
10:00 -
10:15
|
Mwili wa
Marehemu kuelekea Uwanja wa Majimaji
|
Ofisi ya
Mkuu wa Mkoa
|
26.
|
10:15 -
11:00
|
Mkuu wa
Mkoa kuongoza wakazi wa Ruvuma kuaga mwili wa Marehemu
|
Ofisi ya
Mkuu wa Mkoa
|
27.
|
11:00 -
01:00
|
Mwili wa
Marehemu kuondoka Uwanja wa Majimaji kuelekea Lituhi, Nyasa
|
·
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa
·
Kaimu Katibu wa Bunge
|
28.
|
01:00
|
Mwili
kuwasili nyumbani na taratibu za kifamilia kuendelea
|
MC
|
|
RATIBA
YA MAZISHI YA MAREHEMU CAPT. JOHN DAMIANO KOMBA, (MB.)
YATAKAYOFANYIKA
LITUHI, NYASA, MKOANI RUVUMA
TAREHE
3 MACHI, 2015
______________________________________
NA.
|
MUDA
|
TUKIO
|
MHUSIKA
|
1.
|
04:00 - 05:00
|
Wananchi, Familia na Viongozi wa Kitaifa
kuwasili kulingana na Itifaki
·
Uongozi wa Wilaya na Halmashauri
·
Uongozi wa Mkoa
·
Viongozi wa Vyama vya Siasa
·
Waheshimiwa Wabunge
·
Waheshimiwa Manaibu Waziri
·
Waheshimiwa Mawaziri
·
Kiongozi wa Upinzani Bungeni
·
Mhe. Naibu Spika
·
Mhe. Spika
·
Mhe. Waziri Mkuu
·
Mhe. Rais
|
Kaimu Katibu wa Bunge
|
2.
|
05:00 - 06:00
|
Chakula cha Mchana
|
Wote
|
3.
|
06:00 - 07:00
|
Misa
|
Kanisa Katoliki
|
4.
|
07:00 - 07:10
|
Wasifu wa Marehemu
|
Ofisi ya Bunge (Mwajiri)
|
5.
|
07:10 - 07:20
|
Salaam na Rambirambi
kutoka Chama cha Mapinduzi
|
Katibu Mkuu CCM
|
6.
|
07:20
- 07:25
|
Salamu na Rambirambi
kutoka Kiongozi wa Upinzani Bungeni
|
Kiongozi wa Upinzani Bungeni
|
7.
|
07:25-
07:30
|
Salamu na Rambirambi
kutoka Mwakilishi wa Serikali
|
Mhe. Waziri Mkuu
|
8.
|
07:30-
07:35
|
Salamu na Rambirambi kutoka
kwa Uongozi wa Bunge
|
Mhe. Spika
|
9.
|
07:35 - 08:00
|
Msafara wa Waombolezaji kuelekea Makaburini na
Mwili wa Marehemu kwa Mazishi
|
Wote
|
10.
|
08:00 - 08:30
|
Ibada ya Mazishi
|
Kanisa Katoliki
|
11.
|
08:30 -08:45
|
Kuweka Mashada ya Maua kulingana na Itifaki
|
MC
|
12.
|
08:45 - 08:50
|
Shukrani kutoka kwa familia
|
Mwakilishi wa Familia
|
13.
|
08:50
|
Viongozi kuondoka kulingana na Itifaki
|
MC
|
14.
|
10:30
|
Viongozi kuondoka Uwanja wa Ndege kuelekea Dar
es Salaam
|
·
Mkuu wa Mkoa
·
Kaimu Katibu wa Bunge
|
Comments
Post a Comment