Je, wajua kwamba Australia ni bara, nchi na kisiwa?
Kangaroo hupatikana Australia pekee Miamba Bahari ya Australia ni mikubwa kuliko yote Duniani na kivutio kwa watalii Ramani ya Australia Robo tatu ya Waustralia wanaishi katika majiji makubwa na maeneo ya pwani. Fukwe pia ni sehemu za utambulisho wa Australia SAYARI tuishimo yaani dunia ina mabara saba, ambayo tukianzia kwa mtiririko wa bara kubwa hadi dogo ni Asia, Afrika, Amerika Kaskazini, Amerika Kusini, Ulaya, Antarctica na Australia Mbali ya mabara hayo ambayo Antartica ni pekee lisilokaliwa na watu kutokana na kufunikwa na barafu kwa asilimia 89, dunia ina nchi huru kati ya 180 na 195 huku ikiwa na mamia kwa maelfu ya visiwa. Katika makundi hayo matatu, Australia ni pekee duniani iliyobeba sifa zote tatu yaani bara, nchi na kisiwa, kwani nyingi zimeishia kuwa na sifa moja au mbili yaani nchi na au kisiwa. Australia ni bara dogo kuliko yote duniani, lakini pia kisiwa kikubwa kuliko vyote katika sayari hii. Mbali ya sifa hizo mbili pia ni
Comments
Post a Comment