VIWANJA VYA NDEGE, MASABURI NA KIKWETE JIJINI LEO
Mameneja wa Viwanja vya ndege nchini wakiwa katika mkutano wao wa siku mbili katika jiji la Dar es Salaam mkutano hu0o ulitalajiwa kufunguliwa na Waziri wa uchukuzi Dk. Harrison Mwakyembe
Wakijadiliana jambo
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Viwanja vya ndege nchini ( TAA) Mhandisi Suleiman Said Suleiman, akizungumza na waandishi wahabari jana katika mkutano wa mameneja wa Viwanja vya ndege nchini unaofanyika jijini Dar es Salaam. Kulia ni Mkurugenzi wam Kiwanja cha ndege cha Kimataifa cha Julius Nyerere Moses Malaki
Meya wa jiji la Dar es Salaam DK, Didas Masabuli, akisalimiana na Balozi wa Heshjima wa Tanzania katika jiji la Humburg, Petra Hammelmann, baada ya kuwasili katika ofisi zake zilizopo Karimjee .
Meya wa Jiji la Dar es Salaam, Dk. Didas Masaburi (kushoto), na Katibu Mkuu wa Jiji la Humburg la Ujeruman, wakisalimiana baada ya kuwasili katika ofisi zake na ujumbe wake kwa ajili ya kufungua mtaa Dar es Salaam
Meya, akisalimiana na balozi wa Ujerumani nchini Egon Kochanke (kushoto)
Wakibadilishana mawazo baada ya kuwasili
Wakiondoka kwenda kufungua mtaa
Kikundi cha utamaduni kutoka Temeka kikitoa Burudani katika hafla hiyo
Wakionyeshwa mtaa wenyewe
Wageni wakisalimana na wenyeji baada ya kukutana nchini
Mashuhuda wakishuhudia
Meya akizungumza kabla ya kufunguliwa
Wageni waalikwa ambao wengine ni madiwani wa jiji la Dar es Salaam.
Balozi wa ujurumani akaizungumza katika hafla hiyo
Katibu Mkuu wa Jiji la Humburg la Ujeruman, Wolfgang Schmidt, akizungumza kabla ya kufungua
Wakisikiliza mshereheshaji
Afisa Habari wa jiji akizema mamchache katika hafla hiyo
Meya wa Jiji la Dar es Salaam, Dk. Didas Masaburi (kulia), na Katibu Mkuu wa Jiji la Humburg la Ujeruman, Wolfgang Schmidt, wakifunua kitambaa kuashilia uzinduzi wa barabara ya mtaa wa Humburg zamani Garden jijini Dar es Salaam jana
wakifurahia baada ya kufungua
Wakipiga pichA YA PAMOJA NA WAGENI WAKE KUTOKA UJERUMANI
Wakitembelea barabara yenyewe baada aya kuizindua na kuipa jina jipya
Wakiwa katika kibao kinachoonyesha mtaa
Dk. Masaburi na mgeni wake wakicheza ngoma
Mgeni akiwa amepaghawa na ngoma za Kitanzania
Rais Jakaya |Kikwete, akifungua kongamano la siku ya utumishi nchini lililofanyika jijini Dar es Salaam leo
Washiriki wa kongamano hilo wakimsikiliza rais
Wanahabari wakiwajibika katika kongamano hilo
Wa;iowahi kuwa makatibu wakuu viongozi Ikuklu wakiwa katika kongamano hilo
Rais akaiwayunukia zawadi viongozi wa mashirika yaliyofanikisha kongamano hilo
Watunukiwa wakiwa na zawadi zao
Rais akienda kupiga picha baada ya kufungua
Oicha na viongozi wa utumishi
Picha na washsiriki wa kongamano
Picha ya rais na Makatibu waliowahi kuwa Ikulu
Rais akiteta nao baada ya picha
Vipodozi vilivyozuiliwa kuingia katika kongamno hilo alilokuwemo rais, vipodozi hivi vilivkuwa katika pochi za akina mama
Katibu Mkuu Kiongozi Ombeni Sefue (katikati), akiwasikiliza kwa makini Makatibu wakuu watangulizi wake Phileomn Luhanjo (kushoto) na Balozi, Martine Lumbanga (kuli), baada ya ufunguzi wa kongamno la siku ya utumishi linalofanyika jijini Dar es Salaam
Wakijadiliana jambo
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Viwanja vya ndege nchini ( TAA) Mhandisi Suleiman Said Suleiman, akizungumza na waandishi wahabari jana katika mkutano wa mameneja wa Viwanja vya ndege nchini unaofanyika jijini Dar es Salaam. Kulia ni Mkurugenzi wam Kiwanja cha ndege cha Kimataifa cha Julius Nyerere Moses Malaki
Meya wa jiji la Dar es Salaam DK, Didas Masabuli, akisalimiana na Balozi wa Heshjima wa Tanzania katika jiji la Humburg, Petra Hammelmann, baada ya kuwasili katika ofisi zake zilizopo Karimjee .
Meya wa Jiji la Dar es Salaam, Dk. Didas Masaburi (kushoto), na Katibu Mkuu wa Jiji la Humburg la Ujeruman, wakisalimiana baada ya kuwasili katika ofisi zake na ujumbe wake kwa ajili ya kufungua mtaa Dar es Salaam
Meya, akisalimiana na balozi wa Ujerumani nchini Egon Kochanke (kushoto)
Wakibadilishana mawazo baada ya kuwasili
Wakiondoka kwenda kufungua mtaa
Kikundi cha utamaduni kutoka Temeka kikitoa Burudani katika hafla hiyo
Wakionyeshwa mtaa wenyewe
Wageni wakisalimana na wenyeji baada ya kukutana nchini
Mashuhuda wakishuhudia
Meya akizungumza kabla ya kufunguliwa
Wageni waalikwa ambao wengine ni madiwani wa jiji la Dar es Salaam.
Balozi wa ujurumani akaizungumza katika hafla hiyo
Katibu Mkuu wa Jiji la Humburg la Ujeruman, Wolfgang Schmidt, akizungumza kabla ya kufungua
Wakisikiliza mshereheshaji
Afisa Habari wa jiji akizema mamchache katika hafla hiyo
Meya wa Jiji la Dar es Salaam, Dk. Didas Masaburi (kulia), na Katibu Mkuu wa Jiji la Humburg la Ujeruman, Wolfgang Schmidt, wakifunua kitambaa kuashilia uzinduzi wa barabara ya mtaa wa Humburg zamani Garden jijini Dar es Salaam jana
wakifurahia baada ya kufungua
Wakipiga pichA YA PAMOJA NA WAGENI WAKE KUTOKA UJERUMANI
Wakitembelea barabara yenyewe baada aya kuizindua na kuipa jina jipya
Wakiwa katika kibao kinachoonyesha mtaa
Dk. Masaburi na mgeni wake wakicheza ngoma
Mgeni akiwa amepaghawa na ngoma za Kitanzania
Balozi akifurahia ngoma za kitanzania
Rais Jakaya |Kikwete, akifungua kongamano la siku ya utumishi nchini lililofanyika jijini Dar es Salaam leo
Washiriki wa kongamano hilo wakimsikiliza rais
Wanahabari wakiwajibika katika kongamano hilo
Wa;iowahi kuwa makatibu wakuu viongozi Ikuklu wakiwa katika kongamano hilo
Rais akaiwayunukia zawadi viongozi wa mashirika yaliyofanikisha kongamano hilo
Watunukiwa wakiwa na zawadi zao
Rais akienda kupiga picha baada ya kufungua
Oicha na viongozi wa utumishi
Picha na washsiriki wa kongamano
Picha ya rais na Makatibu waliowahi kuwa Ikulu
Rais akiteta nao baada ya picha
Vipodozi vilivyozuiliwa kuingia katika kongamno hilo alilokuwemo rais, vipodozi hivi vilivkuwa katika pochi za akina mama
Katibu Mkuu Kiongozi Ombeni Sefue (katikati), akiwasikiliza kwa makini Makatibu wakuu watangulizi wake Phileomn Luhanjo (kushoto) na Balozi, Martine Lumbanga (kuli), baada ya ufunguzi wa kongamno la siku ya utumishi linalofanyika jijini Dar es Salaam
Comments
Post a Comment