MAKAMANDA WA POLISI MIKOA WAWATOLEA UVIVU WABUNGE NA WATUMISHI SERIKALINI
Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Shinyanga, Jistus Kamugisha, akiwaomba watumbisha wa serikali kama Wizara ya Mifungo na Uvuvi, kutoa elimu kwa wananchi kuhusu mifugo yao wanapokufa wanaenda kwa wanganga na kuambiwa wanalogwa na kuanza kuwauwa wazee kitu ambacho siyo kweli
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Simiyu, Charles Mkumbo, akichangia mada katika mkutano wa wadau wa ulinzi na usalama nchini wanaojadili masuala ya kishirikina na mauaji ya wazee unaofanyika jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Venance Mlowola, Kamanda wa polisi Mkoa wa Mwanza na Kulia ni Kamanda wa polisi Mkoa wa Kagera , Henry Mwaibambe
Ofisa kutoka kwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali, akitoa maoni yake kuhusu uendeshwaji wa kesi za mauaji ya wazee ambapo alisema mashahidi wengine huwa hawajitokezi mahakamani kutoa ushahidi na kusababisha wauaji kuachiwa kwa kukosa ushahidi na kuleta malalamiko kwamba wamepokea rushwa
RPC mkoa wa Simiyu, Charles Mkumbo, akisikiliza kwa makini
RPC, Mwanza Venance Mlowela, akisikiliza kwa makini majadiliano
RPC wa Mkoa wa Kagera, Henry Mwaibambe, akisikiliza majadiliano
RPC, wa Mkoa wa Geita, Joseph Konyo, akisikiliza majadiliano
Makamanda wakiwa katika majadiliano
RPC wa Mbeya, Ahmedi Msangi, akiwa katika mkutano huo
Mwenyekiti wa Kamti ya Bunge ya Ulinzi na Usalama Brigedia Jenerali Mstaafu Hassan Ngwilizi, na wajumbe wenzake wakiongoza mkutano huo
RPC, Mkoa wa Taboraq Salome Kaganda, akizungumza katika mkutano huo
Akibadilishana mawazo na mshiriki mwenzake
RPC Kaganda
Chiligati, akizungumza na wajumbe wa mkutano huo baada ya kumalizika
Akisisitiza jambo na wajumbe
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Simiyu, Charles Mkumbo, akichangia mada katika mkutano wa wadau wa ulinzi na usalama nchini wanaojadili masuala ya kishirikina na mauaji ya wazee unaofanyika jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Venance Mlowola, Kamanda wa polisi Mkoa wa Mwanza na Kulia ni Kamanda wa polisi Mkoa wa Kagera , Henry Mwaibambe
Ofisa kutoka kwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali, akitoa maoni yake kuhusu uendeshwaji wa kesi za mauaji ya wazee ambapo alisema mashahidi wengine huwa hawajitokezi mahakamani kutoa ushahidi na kusababisha wauaji kuachiwa kwa kukosa ushahidi na kuleta malalamiko kwamba wamepokea rushwa
RPC mkoa wa Simiyu, Charles Mkumbo, akisikiliza kwa makini
RPC, Mwanza Venance Mlowela, akisikiliza kwa makini majadiliano
RPC wa Mkoa wa Kagera, Henry Mwaibambe, akisikiliza majadiliano
RPC, wa Mkoa wa Geita, Joseph Konyo, akisikiliza majadiliano
Makamanda wakiwa katika majadiliano
RPC wa Mbeya, Ahmedi Msangi, akiwa katika mkutano huo
Mwenyekiti wa Kamti ya Bunge ya Ulinzi na Usalama Brigedia Jenerali Mstaafu Hassan Ngwilizi, na wajumbe wenzake wakiongoza mkutano huo
RPC, Mkoa wa Taboraq Salome Kaganda, akizungumza katika mkutano huo
Akibadilishana mawazo na mshiriki mwenzake
RPC Kaganda
Chiligati, akizungumza na wajumbe wa mkutano huo baada ya kumalizika
Akisisitiza jambo na wajumbe
Comments
Post a Comment